Kijiji hicho cha Jiangbei mashariki mwa China kinavunjwa ili kutoa nafasi ya ujenzi.
Wanandoa wanaoishi katika eneo hilo waligundua kwamba watafaidika na ujenzi wa nyumba mbili na takriban dola elfu 19 iwapo wataachana na kudai fidia hiyo wakiwa mbali mbali.
Baadhi ya wanandoa hao wana zaidi ya miaka 80, na wengi walisema walipanga kuendelea kuishi.
chanzo:Bbc.
Comments