Vuai Ali Vuai, Mohammed Seif Khatib waekwa pembeni CCM.

Habari zilizotufikia kutoka katika Mkutano Mkuu wa CCM dodoma ni kwamba  kumetangazwa viongozi wapya ambao ni:

  • Dkt Abdallah Juma Abdalla  ambaye anakua Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, nafasi ambayo ilikua ikishiliwa na Vuai Ali Vuai.
  • Perreira Ame Silima anakua Katibu wa Oganaizesheni nafasi ambayo ilikua ikishikiliwa na Mohammed Seif Khatib
  • Dkt. Frank Haule anakua Katibu wa Uchumi na Fedha akichukua nafasi ya Bi. Zakia Meghji.
chanzo: zanzibar24.

Comments