Watafiti wamebaini kwamba unene unasababisha saratani kadhaa ikiwemo saratani ya tumbo, ini, matiti, utumbo na nyumba ya mtoto.
Watafiti hao kutoka chuo kikuu cha Imperial mjini London, wanasema, kando na kuepuka uvutaji sigara, kutunza uzani unaozingatia afya bora, ndio njia moja muhimu inayopunguza uwezekano wa kuugua saratani.
Shirika la afya duniani linasema asilimia 40 ya watu wazima kote duniani ni wanene.
chanzo:Bbc.
Comments