Msemaji wa Trump alisema kwa uchunguzi kuhusu kuingia kwa Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekanai utasaidia uchunguzi huo.
Trump alitoa madai hayo kwenye mtandao wa tittwer lakini hakutoa ushahidi wowote.
Aliyekuwa mkuu wa ujasusi nchini Marekani James Clapper, wakati
wa kampeni alikana kuwa mawasiliano kwenye jumba la Trump Tower
hayakunakiliwa.
Msemaji wa Obama Kevin Lewis, alisema kuwa rais huyo wa zamani hakuwai amrisha kudukuliwa kwa raia yeyote wa Marekani.
chanzo:Bbc.
Comments