Skip to main content
TRA yakanusha kuidai Clouds Media.
Kuna Taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba Mamlaka
ya Mapato Tanzania – TRA imeipelekea notisi ya malimbikizo ya kodi
takribani shilingi milioni 700 kampuni ya Clouds Media Group; Mamlaka ya
Mapato nchini inawaomba Watanzania wote kupuuza na kutoziamini taarifa
hizo kwani ni za uzushi na hazina ukweli wowote.
chanzo: zanzibar24.
Comments