Rais Dkt Magufuli atengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Prof. Justin Ntalikwa kuanzia leo tarehe 26 Machi, 2017.

Nafasi ya Katibu Mkuu wa wizara hiyo itajazwa baadaye.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

26 Machi, 2017
chanzo:Mpekuziblog.

Comments