Beth Battista ameiambia BBC kwamba hakusita kutoa figo yake baada tu
ya kusikia jitihada za Lyla za kutafuta figo kwa muda mrefu.
Mwalimu
huyo, ambae pia ni mama wa watoto wawili, amesema alisikia juu ya hali
ya Lyla baada ya mamake kuweka taarifa za mwanawe katika mtandao wa
Facebook.
Mwaka mmoja uliopita, Lyla alipatikana na tatizo la figo ambapo alitakiwa kusafishwa damu kwa saa kumi na mbili kwa siku.
CHANZO:BBC.
Comments