Bwana Tillerson ameuambiamkutano jijini Washington kuwa Serikali ya
Trump imedhamiria kuharibu ushirika wa magaidi:kiongozi wake Abu Bakr
al- Baghdadi bila shaka atauawa.
Waziri huyo ameahidi kuwa
Marekani itasaidia kuyaweka maeneo katika hali ya usalama kwa ajili ya
kuwawezesha wale waliokimbia kurejea.
chanzo:Bbc.
Comments