Rais Trump alifanya mashauriano kwa njia ya simu na Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe, na Rais wa muda wa Korea Kusini kujadili jinsi ya kujibu kitendo hicho.
''Korea kaskazini imefyatua makombora yake manne leo na kuangukia karibu na eneo letu la maji lenye manufaa kwetu kiuchumi.
chanzo:Bbc.
Comments