
Ameyasema hayo leo wakati alipokuwa akizindua bodi ya Wadhamini wa
Taasisi ya Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Waziri Ummy amesema
Hospiatali hiyo ya Apollo inaidai Tanzania kiasi cha shilingi Bilioni
30.
Kutokana na tishio hilo, Waziri Ummy amesema kwamba wameshaanza
kulipa deni hilo na jitihada kubwa zinfanywa ili kuweza kumalizia kabisa
deni hilo ili wagonjwa waendelee kupokelewa na kutibiwa.
chanzo: zanzibar24.
Comments