
Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu pamoja na Mwigizaji Wema Sepetu wamefikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu mchana huu kujibu tuhuma zinazowakabili.
Tundu Lissu kasomea mashitaka manne ya uchochezi na Wema Sepetu ni kuhusu sakata la dawa za kulevya
chanzo:mpekuziblog.
Comments