Watendaji wa vijiji mikononi mwa polisi kwa kutumia mbolea ya Serikali kulimia bangi.

Watendaji wa Vijiji kadhaa koani Kagera wanashikiliwa na polisi  kwa tuhuma za kutumia mbolea ya ruzuku ya Serikali kulimia zao la Bangi vijijini mwao.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama vimeteketeza mashamba manne makubwa za zao hilo haramu.
Inadaiwa kuwa Watendaji hao walificha taarifa
za kuwepo kwa mashamba hayo katika vijiji vyao na kuendelea kuyalima kwa kutumia mbolea hiyo ya ruzuku ya Serikali.
chanzo:zanzibar24.

Comments