Shirika
hilo lenye makazi yake nchini Uholanzi liitwalo Women on
Waves,lilijitolea kuwachukua wanawake wajawazito kwa boti mpaka kwenye
eneo la kimataifa la bahari, ambapo zoezi hilo hufanyika bila kuvunja
sheria za nchi hiyo.
Utoaji mimba huruhusiwa pale ambapo maisha ya mama yako hatarini
Boti hiyo iliwasili kwenye pwani ya bahari ya Pacific sikuya jumatano lakini huenda wakalazimika kuondoka haraka.
Wataalam hao wamesema vitendo vya utoaji mimba kiholela huhatarisha maisha ya zaidi ya wanawake 60,000 wa Guatemala kila mwaka.
chanzo:Bbc.
Comments