Katika vyombo vya habari vya taifa, kabla ya kabla ya kutimiza miaka 93 hapo Jumanne, Rais Mugabe alisema watu wengi nchini Zimbabwe wengi hawaoni kama kuna mtu anayeweza kuchukua nafasi yake, ambaye anakubalika kama yeye.
Bwana Mugabe ameongoza nchi tangu mwaka wa 1980. Mwezi wa Disemba, ZANU-PF ilimthibitisha Mugabe kuwa mgombea wake katika uchaguzi ujao wa rais.
chanzo:Bbc.
Comments