Kauli hiyo inakuja baada ya kufurushwa kutoka Marekani kwa mwanamke mmoja raia wa Mexico Guadalupe Garcia de Rayos hapo juzi .
Bi Guadalupe Garcia alikuwa amekwendwa kwa huduma za kawaida katika ofisi ya uhamiaji ya Marekani lakini badala yake akafurushwa kutoka nchini humo.
Sasa serikali ya Mexico inasema hii ni dhahiri kuwa raia wake watakabiliwa na masharti magumu ya kuingia na kuishi Marekani - hivyo kuwashauri wawe na mpango wa dharura ili kuwasaidia iwapo itawalazimu kuihama Marekani kwa haraka .
chanzo:bbc.
Comments