Jeshi la Polisi lapiga marufuku mikusanyika vituo vya polisi.

Jeshi la Polisi limepiga marufuku Waandishi pamoja na Wananchi kukusanyika katika vituo vya Polisi pindi watuhumiwa wakiitwa kuhojiwa.
Agizo hili linaanza kutekelezwa mara moja katika vituo vyote vya Jeshi la Polisi Tanzania bara na visiwani.


Kufuatia tangaza hili lililotolewa na Makao Mkuu ya Jeshi la Polisi, hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote watakaokiuka agizo hili.

chanzo: zanzibar24.

Comments