Watafiti wanasema kuwa ndovu wanauawa kwa pembe zao na wawindaji ambao huingia nchini kutoka nchi jirani ya Cameroon.
Gabon inaamiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya ndovu wa msituni waliosalia.
Lakini watafiti kutoka chuo cha Duke nchini Marekani wanasema kuwa ndovu 25,000 wamuawa kwenye mbuga ya Minkebe eneo ambalo limekuwa likichukuliwa kama hifadhi.
chanzo:Bbc.
Comments