Jeshi la Polisi linamshikilia mtuhuiwa huyo kwaajili ya mahojiano ili kupata chamaelezo juu ya tukio hilo la kusikitisha.
Aidha inadaiwa baada ya kutekeleza unyama huomtuhumiwa huyo alimfukia
ndani ya nyumba akiwa amemuweka kwenye mfuko wa plasitiki kwa lengo
linalodaiwa kua ni kupoteza ushahidi wa kutenda kosa hilo.
chanzo: zanzibar24.
Comments