Yankuba
Badgie alikamatwa pamoja na mfanyikazi mwengine wa zamani katika kitengo
hicho siku ya Jumatatu, kulingana na msemaji wa polisi.
Bw
Jammeh alibuni kitengo hicho mwaka aliochukua mamlaka kupitia mapinduzi
1994 na kupata sifa ya kuwa kitengo cha serikali kinachoogopwa zaidi,
kulingana na chombo cha habari cha Reuters.
Afisa huyo sasa ni wa kwanza wa ngazi za juu wa serikali ya
aliyekuwa rais wa taifa hilo Yahya Jammeh tangu kiongozi huyo aende
mafichoni nchini Equitorial Guinea baada ya viongozi wa kimaeneo
kupeleka majeshi yao nchini Gambia ili kumshinikiza kuondoka madarakani.
Alipoteza
uchaguzi mnamo mwezi Disemba kwa rais mpya wa Gambia Adama Barroow
awali alikuwa amekubali kushindwa lakini baadaye akataka kufutilia
mbali matokeo hayo.
chanzo:Bbc.
Comments