Waziri Mkuu wa IVORY COAST Daniel Kablan Duncan amejiuzulu kufuatia
kupitishwa kwa katiba mpya na uchaguzi wa bunge wa mwezi uliopita atika
Bunge la nchi hiyo.
Aidha Rais Alassane Ouattara awavua vyeo mkuu wa Jeshi na wa Polisi
wa Nchi hiyo kufutia kuwepo kwa hali ya mgomo wa wanajeshi ambao wanadai
kuongezewa mshahara na marupurupu.
Comments