Hatua hiyo imetokana na kukithiri kwa mauaji ya mara kwa mara yanayohusishwa na imani za kishirikina, kama kuchinjwa walinzi, mauaji ya vikongwe ni matokeo ya waganga wa jadi.
Sambambana agizo la kusitishwa kwa vibali pia Mkuu wa Wilaya ametoa
agizo la kufungwa kwa majumba ya starehe yasiyo na vibali vyakukesha
ifikapo saa sita kamili usiku.
chanzo: zanzibar24.
Comments