Akithibitisha kukamatwa kwa mwanamke huyo kamanda wa polisi mkoa wa
kaskazini Pemba Haji Khamis amesema ukamatwaji wake wake ni kutokana
na taarifa za awali kuwa mwanamke huyo kuwa anayo tabia ya kuuza bangi.
kufuatia taarifa hizo ndipo jeshi la polisi liliamua kufanya upekuzi
ndani ya nyumba yake na kukamata mabunda 15 ya majanin makavu na kila
moja likiwa na gram 500 kwa sasa mwanamke huyo anashikiliwa najeshi la
polisi na hatua za kupelekwa mahakamani unafanywa.
chanzo;zanzibar24
Comments