Jaji Warioba: Tanzania ina dalili za kukumbwa na janga la njaa.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Warioba amedai kuwa kuna dalili za nchi
kukumbwa na janga la njaa. Aitaka Serikali kugawa chakula haraka.
Jaji Warioba amesema si sahihi kuendelea kubishana kuwa nchi ina njaa
au haina, wakati dalili zinaonesha uwezekano wa kukumbwa na upungufu wa
chakula upo na unaonekana wazi.
Comments