SOKO
jipya la matunda na mboga mboga la Mjini Wete Pemba, ambalo
limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
SOKO
jipya la matunda na mboga mboga la Mjini Wete Pemba, ambalo
limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). SOKO
jipya la matunda na mboga mboga la Mjini Wete Pemba, ambalo
limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). WANAFUNZI
kutoka Wete, wakiwanogesha wananchi waliohudhuria ufunguzi wa soko
jipya la matunda na mboga mboga la Mjini Wete Pemba, ambalo
limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). WANANCHI
wa mkoa wa kaskazini Pemba, waliohudhuria ufunguzi wa soko jipya la
Wete, uliofanywa na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya
miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). WANAFUNZI
wa skuli mbali mbali za wilaya ya Wete wa mkoa wa kaskazini Pemba,
waliohudhuria ufunguzi wa soko jipya la Wete, uliofanywa na rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). MAOFISA
wadhamini wa wizara mbali mbali za serikali Kisiwani Pemba,
waliohudhuria ufunguzi wa soko jipya la Wete, uliofanywa na rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). WAPIGA
ngoma aina ya Msondo kutoka Kangagani , wakiwatumbuiza wananchi
waliohudhuria ufunguzi wa soko jipya la matunda na mboga mboga la Mjini
Wete Pemba, ambalo limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor,
Pemba). WAPIGA
ngoma aina ya Msondo kutoka Kangagani , wakiwatumbuiza wananchi
waliohudhuria ufunguzi wa soko jipya la matunda na mboga mboga la Mjini
Wete Pemba, ambalo limeshafunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein, ikiwe ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor,
Pemba). RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein akikata utepe, kuashiria kulifungua soko jipya la matunda na mboga
mboga lililopo Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, ikiwa ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor,
Pemba). RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein akilitembela soko jipya la matunda na mboga mboga, lililopo Wete
Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada ya kulifungua, ikiwa ni sehemu ya
maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor,
Pemba). RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein akizungumza na wananchi wa Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada
kulifungua soko jipya la matunda na mboga mboga lililopo Wete Mkoa wa
kaskazini Pemba, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi
ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe: Dk, Ali Mohamed
Shein akizungumza na wananchi wa Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada
kulifungua soko jipya la matunda na mboga mboga lililopo Wete Mkoa wa
kaskazini Pemba, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi
ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba). RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi akiwa na viongozi
kadhaa kwenye picha ya pamoja, mara baada ya kulifungua soko jipya la
matunda na mboga mboga lililopo Wete, ikiwa ni sehemu ya maadhmisho ya
miaka 53 ya mapinduzi Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
chanzo:zanzibar24.
Comments