CUF yaeka pingamizi uchaguzi wa Dimani.

Pamoja na uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Dimani kufanyika katika hali ya utulivu na amani, vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi huo vimepinga uchaguzi huo kwa madai hauko huru na haki na una ukiukwaji wa sheria na katiba zilizoekwa na tume ya uchaguzi.

Baadhi wagombea ya vyama hivyo ikiwemo chama kikuu cha upinzani cha CUF wamedai kutoridhiswa na utaratibu wa uchaguzi huo japo kua matokeo yameshatangazwa.

chanzo; zanzibar24.

Comments