CHADEMA wapigwa na chini Kesi ya Benjamini Sitta.

Mahakama Hakimu mkazi Kisutu yamthibitisha Benjamini Sitta kuwa Meya halali wa Manispaa ya Kinondoni hatua hiyo imetoliwa baada ya kushinda kesi iliyofunguliwa dhidi yake kuhusiana na matokeo ya uchaguzi.

Mnamo mwezi Oktoba, 2016 chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilifungua kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kupinga ushindi wa Benjamini Sitta kuwa Meya wa Kinondoni.

Baada ya uthibitisho huo Benjamimi Sitta ataanza kazi zake za umeya atazopangiwa.

chanzo; zanzibar24.

Comments