Mkuu wakitengo cha kupambana na madawa ya kulevya Zanzibar mratibu
msaidizi wa Polisi Juma Ameir amethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo
ikiwa ni mflulizo wa kukatatwa kwa waingizaji na wztumiaji wa dawa za
kulevya.
Aidha mkuu huyo ameendelea kuimba jamii kuzidi kutoa ushirikiano wa
dhati kwa jeshi la polisi ili kuwafichua wahalifu hao kwani ukizingatia
wanaoathirika zaidi ni vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa..
chanzo: zanzibar24
Comments