Akamatwa na misokoto 33 na furushi moja la bangi.

pembeJeshi la polisi kitengo cha madawa ya kulevya kimefanikiwa kumkamata kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Saleh Omar Mohd (25)  mkaazi wa Kianga akiwa na misokoto 33 na furushi moja la majani makavu yanayosadiwa kuwa ni bangi.

Mkuu wakitengo cha kupambana na madawa ya kulevya Zanzibar mratibu msaidizi wa Polisi Juma Ameir amethibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa huyo  ikiwa ni mflulizo wa kukatatwa kwa waingizaji na wztumiaji wa dawa za kulevya.

Aidha mkuu huyo ameendelea kuimba jamii kuzidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa jeshi la polisi ili kuwafichua wahalifu hao kwani ukizingatia wanaoathirika zaidi ni vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa..

chanzo: zanzibar24

Comments