Watu hao walikuwa wamekwishafanikiwa kutoa fedha katika mashine za kutolea fedha(ATM) kiasi cha shilingi milioni 11.
Kufuatia tukio hilo wananchi wametahadharishwa kuwa makini na
wahalifu na matapeli na kwamba watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani
mara baada ya uchunguzi kukamilika.
chanzo: zanzibar24.
Comments