Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) imeipatia Tanzania mkopo wa Shilingi Bilioni 360 kwa ajili ya Bajeti ya Serikali ya mwaka wa Fedha 2016/17 pamoja na kuongeza mtaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini-TADB.
Uhai wa mikopo yote miwili utakuwa ni miaka 40 ambapo Serikali itaanza kuilipa baada ya miaka kumi tangu kutolewa kwake, huku riba yake ikiwa chini ya asilimia 1.
chanzo;zanzibar24.
Comments