Serikali imesema taarifa inayosambazwa, ambayo imetafsiri mawasiliano
ya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni ya kupotosha, hivyo
watumishi wote wa umma wanaombwa kuipuuza.
Vilevile watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia kuwa Ofisi ya
Mwanasheria Mkuu wa Serikali HAINA mamlaka ya kuzuia wala kuruhusu
mtumishi yeyote wa Serikali kukopa au kutokopa katika Taasisi yoyote ya
Fedha nchini.
chanzoi; zanzibar24
Comments