Rais Magufuli Amteua Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) Kuchukua Nafasi ya Damiani Lubuva.

Jaji Semistocles atahudumu katika nafasi ya Uenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) kwa muda wa miaka mitano.


chanzo;mpekuziblog.
Comments