Matokeo ya uchaguzi Nchini Marekani yanaendelea kutolewa ....Trump Anaongoza Kwa Wingi wa Kura.

Mgombea wa Republican, Donald Trump ameonekana kuongoza kwa mbali katika uchaguzi wa Urais wa Marekani unaoendelea huku majimbo muhimu yakiwa yameshapiga kura.

Hillary Clinton alianza vizuri katika uchaguzi huo akiongoza lakini mambo yamebadilika na ndoto yake ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke wa taifa kubwa zaidi duniani imeanza kufifia.

Trump ameshinda majimbo muhimu yakiwemo Ohio, Carolina Kaskazini na Florida, na sasa yamebaki majimbo 270 ya uchaguzi (electoral votes) na ana nafasi kubwa ya kuingia Ikulu.

Tuta endelea kukujuvya kila kina kitacho jiri.

Comments