Akizungumza na zanzibar 24 Mjumbe wa sheha wa shehia hiyo Bahati Issa Suleiman amesema kuwa endapo wanajamii hao watapewa mafunzo wataweza kupambana na watu wanaoendeleza vitendo viovu katika shehia hiyo.
Nao baadhi ya wananchi wa Shehia hiyo wamekiri kuwepo kwa tatizo hilo ambalo limekuwa ilikitia hofu wananchi wa oneo hilo hususani nyakati za usiku.
chanzo; Zanzibar24
Comments