Akizungumza katika siku ya miaka 71 ya Umoja wa kimataifa UN huko mazizini Waziri wa kazi uwezeshaji Wazee,Vijana ,Wanawake na Watoto Zanzibar mordlin Castico amesema kwa kiasi kikubwa UN imekuwa mdau mkubwa wa maendelo katika kusaidia jamii.
Hata hivyo amesema malengo makuu ya serikali kupitia wizara hiyo ni kuwaandaa vijana na wanawake juu ya kuwapa elimu ya kujiajiri na kupunguza kasi ya umaskini Nchini.
chanzo;zanzibar24
Comments