Watu wawili wanusurika kufa kufuatia ajali ya gari Pemba.


Watu wawili wanusurika kufa kufuatia ajali ya gari ya abiria kufeli breki iliyo tokea Mchanga mdogo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba majira ya saa moja na nusu asbuhi.

Kwa mujibu wa mashuhuda walio shuhudia tukio hilo wamesema kua gari hilo lilifeli breki wakati dereva huyo alipotaka kusimama na kuanguga hapo hapo.
Gari hilo lilikua linaendeshwa na Juma Abdalla Ali 42 na Konda wake ni Is-haka Juma Juma 24 wote wakaazi wa Wete Pemba.

Comments