Upepo mkali uliovuma majira ya saa kumi jioni hadi saa moja ucku umeezua paa la nyumba katika
kijiji cha kiuyu mbuyuni mtaa wa titimiko karibu na uwanja wa mpira katika wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba.Wakisimulia kutokea kwa tukio hilo wakaaazi wa eneo hilo
wamesema upepo huo ulikua mkali na kushinwa kufanya chochote kama jitihada za
uokozi.Wamefahamisha kua kuafuatia upepo uliovuma katika kijiji chao
umesababisha hasara kwa kuezua paa la nyumba ya bw. Mandela Omar mkaazi wa eneo
hiloWamesema hadi sasa hakuna kiongozi yoyote wa serekali
aliejitokeza kujua kuangalia madhara yalio tokezea katika maeneo yao.Aidha wamesema mabati yalio ezuka yaligonga nyuzo ya umeme ambayo
imeanguka na kupelekea mtaa huo kukosa huduma hiyo muhimu bila kuathiri maisha ya watu walio kuwepo
katika eneo hilo.
Comments