LIVE: Rais Magufuli kwenye uwekwaji wa saini wa Mauziano ya mahindi na WFP.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Magufuli leo januari 4 anashuhudia utiaji saini mkataba wa mauziano ya mahindi kati ya wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula (NFRA) na Shirika la Chakula Dunia (WFP).
Tazama kila kitu hapo chini

Comments