Dr. Shein awasili kisiwani Pemba kwa Sherehe za Mapinduzi.

Image may contain: 5 people, people smiling, people standing, suit and indoorRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein tayari ameshawasili Kisiwani Pemba kwa ajili ya Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazofanyika tarehe 12.01.2019 katika kiwanja cha Gombani Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba.

Comments