Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameunda Tume ya watu 7 kuchunguza ajali ya
MV Nyerere ikiongozwa na Jenerali Mstaafu, George Waitara na Mbunge wa
Ukerewe, Joseph Mkundi
Pia
amesema Rais Magufuli ameagiza kuitishwa kwa zabuni ya kutengeneza
kivuko kipya cha uzito wa zaidi ya tani 50 na uwezo wa kubeba abiria
zaidi ya 200 ili kichukue nafasi ya Mv Nyerere wakati kikiendelea na
matengenezo.
Comments