Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) Yanza zoezi la kuwapima umri wachezaji watakaoshiriki kwenye michuano ya CECAFA.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Taasisi
ya Tiba ya Mifupa (MOI) imeanza zoezi la kuwapima umri wachezaji
watakaoshiriki kwenye michuano ya CECAFA Kanda ya 5 itakayofanyika hapa
nchini kuanzia tarehe 11/08/2018.
Comments