Hivi karibuni, gazeti hili lilichapisha makala kuhusu changamoto
zinazowakabili wakulima wa mpunga, hali inayosababisha uzalishaji wa
mchele kutokidhi mahitaji ya wananchi.
Makala hiyo inatokana na uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa zaidi ya miezi mitatu katika mabonde mbali mbali ya mpungua.
Aliyasema hayo bonde la Kibokwa Wilaya Kaskazini ‘A’ wakati akizindua
uvunaji mpunga kwa msimu wa mwaka huu na kuongeza kipato kwa wakulima.
Alisema serikali inachukua jitihada mbali mbali za kuimarisha kilimo
cha mpunga kwa kuongeza uzalishaji wa mpunga ili kuhakikisha Zanzibar
inajitegemea kwa chakula.
Aliwaomba wakulima kutumia mbinu bora za kilimo sambamba na matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo ili kuongeza uzalishaji.
Zanzibarleo.
Comments