LIVE: Rais Magufuli Akipokea Gawio la Serikali Kutoka Katika Mashirika 47.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Rais Dkt John Magufuli Leo Julai 23, 2018 , anapokea gawio la kipindi
cha mwaka 2017 / 2018 kutoka kwa Wakala, Kampuni, Taasisi, na Masharika
ua Umma 47 ambayo serikali inamiliki hisa.
Hafla ya kupokea gawio inafanyika katika ukumbi wa kituo cha mikutano
cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Comments