
Mnamo tarehe 5 mwezi wa 5 mwaka 2018 majira ya saa 3 za asubuhi Mtaa
wa Fuoni Jitimai ambapo alimuiba mtoto wakiume mwenye umri wa mwaka
mmoja nakukamatwa katika bandari ya Malindi Mjini Zanzibar kwani alikua
akitaka kutoroka nae kuelekea jijini dar es salaam.
Aliposomewa kesi hiyo Mahakamani hapo amekiri kosa hilo na Mahakama
imemtia hatiani kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 5 ili iwe
fundisho kwake na wengine wenye tabia kamahizo.
Zanzibar24.
Comments