Skip to main content
Mambo 24 Unayotakiwa Kuyatimiza ili kupata ajira zilizotangazwa na Polisi.
Jeshi
la Polisi nchini linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa
vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali
katika operesehi Kikwete na Operesheni Magufuli wenye elimu ya kidato
cha nne, cha sita, astashahada, stashahada, shahada ya juu.
chanzo:Mpekuzi.
Comments