Mambo 24 Unayotakiwa Kuyatimiza ili kupata ajira zilizotangazwa na Polisi.

Jeshi la Polisi nchini linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali katika operesehi Kikwete na Operesheni Magufuli wenye elimu ya kidato cha nne, cha sita, astashahada, stashahada, shahada ya juu.
chanzo:Mpekuzi.

Comments