Mtatiro afunguka juu ya walio tangaza kumfukuza uwanachama CUF.

mtatiroBaada ya Masaa kadhaa kupita tangu mwenyekiti wa CUF wilaya ya Ubungo, ndugu Bashir Ally Muya kutangaza kumfukuza chama mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya chama hicho, Julius Mtatiro.
kupitia ukurasa wake wa Instagram Mtatiro ameibuka na kuwatoa hofu wafuasi wa  Chama cha Wananchi (CUF) ambapo alisema “Mimi naendelea na majukumu yangu kama Kiongozi wa Juu wa chama anayetambuliwa na chama na vikao vya chama, na vitangazo hivyo vya wahuni haviwezi kunishughulisha wala kuwashughulisha wenzangu.”
Soma hapo chini kwa ukamilifu alicho kiandika Julius Mtatiro:

 chanzo:zanzibar24.

Comments