Yameelezwa hayo na Katibu wa Jumuiya hiyo Dr Omar Abdallah Adam kuwa lugha ya kiswahil ni
fursa yetu wazanzibar kujua umuhimu wake
kusoma na kuandika, kutumia kiswahil
inavotakiwa kwani lugha yetu ni rasilimali ya taifa.
Ameongeza kusema kuwa wana mbinu mbali mbali wanazozitumia
ili kukuza na kukiendeleza lugha ikiwemo kutoa elim maskulin na vyuon, kueka
vipindi ndani ya vyombo vya habar,kutumia
katika mitandao ya kijamii,kutunga mashairi na tenzi.
Aidha ametoa wito kwa wanzanzibar hususani wenye kiwango cha
masta na degree kujiunga na jumuiya kwani lugha inayotumika ni taifa kwa ujumla.
Comments