Uhaba wa mafuta wasababisha foleni kwenye vituo vya mafuta Unguja.

mafutaKatika msimu huu wa mwaka mpya vituo mbalimbali vya mafuta zanzibar vimekumbwa na uhaba wa mafuta ya petrol hali iliyopelekea msongamano mkubwa wa vyombo vya moto vikisubiri huduma ya ya mafuta.

Mwandishi wetu ametuandalia picha zinazoonesha hali halisi ya vituo mbali mbali vya mafuta ilivyokuwa leo asubuhi Januari 3, 2018.

chanzo:Zanzibar24.

Comments