
Hapo jana kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram aliandika;
‘polisi wameniita wanipeleke mahakamani kwa wanachodai ni ‘Uchochezi’
najiskia kama Nyerere wakati wa Ukoloni au Mandela wakati wa Ukaburu,
Siogopi na msiogope’.
Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Emmanuel Masonga wanadaiwa kutoa maneno
yenye kuleta chuki baina ya wananchi na serikali katika mkutano
walioufanya December 30 mwaka jana.
chanzo: zanzibar24.
Comments