
Taarifa hiyo imeeleza kuwa hafla ya kuwaaapisha walioteuliwa pamoja na kuwapangia wilaya zao za kazi itafanyika Ikulu siku ya Jumatatu, Novemba 27, 2017.
Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa, kupitia ukurasa wake wa Twitter ameeleza kuwa taarifa hiyo haijatolewa na ikulu ila imetengenezwa na wahalifu wenye nia mbaya na serikali.
Comments