Noshad akamatwa akiwa na Dhahabu na fedha taslimu za mataifa 15 uwanja wa ndege Zanzibar.
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Mfanyabiashara Noshad Mohamed Suleiman amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Zanzibar akijaribu kuondoka nchini akiwa na madini ya dhahabu kilo 8 na fedha taslimu za mataifa 15.
Comments